NaNaLee_Tz๐ฅ(๐ฐ๐ท)๋ธ์โ๏ธ
@MijuLee_Tz
Accountant by Pro||Microfinance Expert||Entrepreneur|| @Chelseafc @YoungAfricansSC|| #KPopFan||Taurusโ๏ธ|| Promocode: https://t.co/Wj752S2tQ3 ||5 feet 6.142
ID:1098886021821972480
22-02-2019 10:03:38
142,4K Tweets
53,5K Followers
725 Following
Dodoma mpo tayari?????
Habari njema ni kwamba Wizara ya Habari na Mawasiliano (Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari) chini ya Waziri Nape Moses Nnauye ina kuletea burudani ya CHEKA TU (BUNGE COMEDY GALA) kwenye viwanja vya Bunge, Dodoma!!
Kesho tarehe 16 saa 1 jioni paleee๐ฅ
Unakosaje saasa??๐ค
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Wizara ya Habari na Mawasiliano (Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari) chini ya Waziri Nape Moses Nnauye wamekuandalia show Kabambe ya CHEKA TU (BUNGE COMEDY GALA) itakayofanyika mkoani DODOMA, VIWANJA VYA BUNGE.
๐๏ธ16/05/2024
๐ 07:00 PM
๐ VIWANJA VYA BUNGE
USIKOSE๐ฅ
Good morning ๐
Coffee table size 102ร102ร48cm with 4
Stools๐ฅ
Price 670k ,๐ค
๐ Arusha esso Conner
#TrustTheProcess
#WoodWorking
#MakeWithLove
Nina print na design #Businesscards nyepesi na ngumu kwa ajili yako wewe mteja wangu .
pics 100 nyepesi ni 20,000/=
pics 100 ngumu ni 30,000/=
Nitumie details zako sasa nikutumie uwe na business cards zako mteja
๐Sinza kumekucha
โ๏ธ 0786445451
Unadhani Chelsea gari yao ndio imewaka hivyo au tusiamini vicheko? Je Cold Palmer leo atajipapatua na kufufua matumaini ya kubeba kiatu cha ufungaji bora EPL?
Majibu yote ni ndani kifurushi cha Compact #MfalmeWaBoma anasimamia mchongo. Piga *150*53# sasa
#EPLBilaDStvHainogi