''Wahuni ni watu wabaya hawajawahi kuisha ni kama watu wabaya katika imani hawajawahi kuisha mpaka tutakapokwenda mbinguni kwahiyo ni juhudi zetu kila siku kuwabaini walipo na kuwachukulia hatua pasi na kurudi nyuma'' - #HPolepole #SupaBreakfast #Malawi #Tanzania #EastAfricaRadio
Balozi wa Tanzania nchini Malawi, #Hpolepole akizungumza kuhusu fursa zilizopo nchini Malawi ambapo amesema ukitaka hela ya haraka basi nchini humo ndiyo mpango mzima.
Interview kamili utaikuta youtube channel ya #EastAfricaRadio
''Kuhusu kupenda ubunge au ubalozi, sisi ni watumishi unatumwa hauchagui, mimi hata ningeambiwa kuanzia leo ukapike chai mimi nitakwenda kama hiyo kupika chai inalinda maslahi mapana na nchi yetu ya Tanzania'' - #HPolepole Balozi wa Tanzania Malawi.
HB_CBE 2020 RECUR @sheby_yahya Rashda Zunde @Ngaso6Ngaso Mapung'o Kigogo Media Mganga Joh Humphrey Vidonyi Rwabudugu🇹🇿 𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿 Pole pole Kesha wajibu...mbele ya ofisi ndo kaweka picha moja tu ya Rais aliyepo madarakani,zile zingine za Maraisi waliyopita ziko nyuma zimepangana zikajaza ukuta😀