#BURUDANI Mo Technical Jaymoe Mchopanga akielezea hali aliyopitia wakati anapokea taarifa za kifo cha Albert Mangwea nchini South Africa.
#PlanetBongo #JayMoe #RIPMangwea #HipHop #RichMsafii @PiwaMagic Mathias
#CRDBBankFederationCup Na nyota wa mchezo akawa ni kiungo wa Yanga, Maxi Nzengeli
FT: Yanga 3-0 Tabora United.
Burudani yote LIVE #AzamSports1HD
#CRDBBankFederationCup #KombelaShirikisholaCRDBBank #FACup #RoboFainali #YangaSC #TaboraUnited #YangaTaboraUnited
#BURUDANI Majibu ya Mlilo Tz akifunguka alichokisema mkewe #ShamsaFord kumsifia EX wake #NayWaMitego .
#eNewz
#BURUDANI Spana SPANA akijibu swali la @piwamagic kuhusu nyimbo alizomuandikia Boss wake @officialalikiba pale lebo ya #KingsMusicRecords .
#PlanetBongo #Alikiba #VanillahMusic #RomaMkatoliki #NeverMind
#BURUDANI Comment ya Swahili Kid kuhusu kinachoendelea kati ya boss wake SIMBA..!π¦ na mkali wa muziki wa Singeli Dulla Makabila.
#PlanetBongo #WCB #DiamondPlatnumz #DullaMakabila #DVoice
#BURUDANI 'KRG si msanii ila atakuwa ni mwana biashara ambaye saa zingine ni Mcheshi' - ERIC OMONDI akijibu swali la @conniebeily kuhusu KRG kutamba kuwa msanii Tajiri zaidi Kenya.
#TheCruise #EricOmond #Kenya @conniebeily @modoo_255
Huku kwetu ni Burudani kwani Bima ya chombo cha moto ipo Kiganjani.Unaanzaje kukosa? Changamkia VodaBima ulinde chombo chako leo.β
Tumia M-Pesa App au Piga *150 *00 #>huduma za kifedha >VodaBimaβ
#VodabimaKidijitali #NichapNinafuu #zaidiyamtandao
#BURUDANI Mchekeshaji @ericomondi anasema Industry ya Comedy East Africa imekufa kwa sababu baada ya kuacha kufanya kazi hiyo mpaka akiamua kurudi jukwaani kuanza kuchekesha tena.
#TheCruise #EricOmond #Kenya @conniebeily @modoo_255