Tumalizeni utata huu leo. Eti ni mbaya zaidi Mwanaume aki-cheat au Mwanamke na Kwanini?
Dondosha comment Yako na #MamaMia wataisoma live Muda huu mpaka saa 6:00 Mchana.
Picha: FakazaNews
#MamaMia #EatvKinara #HainaKuchoka #BonyezaLink #EastAfricaR
Ni kitu gani kiliwahi kumponza mtu wako wa karibu kwasababu ya tamaa?
Dondosha comment yako hapo chini na #MamaMia wataisoma live muda huu mpaka saa 6:00 Mchana.
#MamaMia #BonyezaLink #EatvKinara #HainaKuchoka #EastAfricaRadio
#MAMAMIA : 'Kuna vitu ambavyo pia watu wanatengeneza, kwa mfano kuweka kope, kutengeneza makalio, kubandika kucha, tunatengeneza urafiki na shetani, na watu ambao wanaweka vitu zaidi wanaongoza kwa stress' - Sheikh Mussa, Mkurugenzi @maajabu18
#MamaMia #BonyezaLink #HainaKuchoka β¦
Wanawake eeeh, huko majumbani chai inapikika kweli?
Dondosha comment Yako na #MamaMia wataisoma live Muda huu mpaka saa 6:00 Mchana.
Cc; @daannatz @mcritha_chuwalo @yustamsowoya @asheromar
#MamaMia #BonyezaLink #EastAfricaRadio