Tuambie hapa chini kwenye comment ni wanawake wa mkoa gani hapa nchini wanaongoza kuwa na hasira na ubabe?
#EastAfricaTV #EastAfricaRadio #Wanawake #Tanzania #HainaKuchoka
#MICHEZO : Afisa habari wa Yanga SC Ally Kamwe amesema kuwa wamekuja na staili mpya ambayo wachezaji wote watakao sajiliwa kwenye timu yao, watapewa makombe yote kuyapiga busu.
#EastAfricaTv #EastAfricaRadio #Michezo #HainaKuchoka
#5Selekt : @conniebeily anasema kwake ni bora kuwa na Shuga Daddy kuliko vijana wa rika lake katika mahusiano.
cc @modoo_255 @conniebeily
#5Selekt #EastAfricaTV #HainaKuchoka
#5Selekt : Unaamini muziki wa Hip Hop hapa Bongo umekufa kisa haufanyi vizuri nje ya Tanzania?
cc @modoo_255 @conniebeily
#5Selekt #EastAfricaTV #HainaKuchoka
#DADAZ : Ungefanya nini ukigundua mpenzi wako anatoka kimahusiano na rafiki yako na kumbe walikuwa wanajuana wewe hujui?
#UlizaDADAZ #EastAfricaTV #HainaKuchoka
#MAMAMIA : @yustamsowoya amesema na watu wote wanaoshindwa kutumia mawazo yao na kuyafanyia kazi badala yake wana visingizio vingi na wamebweteka, anasema wasimame na kwenda kufanya kazi waache kukaa na mawazo yao.
#EastAfricaRadio #MamaMia #HainaKuchoka #ripreginaldmengi
#5Selekt : Kitu gani cha kipuuzi umewahi kufanya kwenye mapenzi?
Usikose kutazama #5Selekt ya #EastAfricaTV na team ya ushuani #Modoo255 & #ConnieBeily kuanzia saa 11:00 jioni.
#5Selekt #EastAfricaTV #HainaKuchoka
Wakali wa Location hapa ni wapi?
Picha: takadini_003๐ฏ๐ฒ๐ค๐
#Dodoso #HainaKuchoka #EastAfricaTv #EastAfricaRadio
Makubaliano ya mwisho yaliamua nani bora kati ya Freddy Michael Kouablan na Joseph Guรฉdรฉ Gnadou
Tuandikie hapo chini kwenye comment,
#EastAfricaTv #EastAfricaRadio #HainaKuchoka #Michezo
#5Selekt : Hivi umewahi kuambiwa neno gani na mtu na likakuumiza sana na hutosahau maisha yako yote?
Usiikose #5Selekt ya #EastAfricaTV kuanzia saa 11:00 jioni.
cc #modoo255 & #conniebeily
#EastAfricaTV #HainaKuchoka
#BURUDANI : Peter Msechu anakiri yeye sio mzuri wa uandishi haswa katika nyimbo za mapenzi, ila ni mzuri zaidi katika utunzi wa nyimbo za maombolezo inapotokea msiba.
CC @blessing_teba @clementthehero
#Burudani #HainaKuchoka #EastAfricaTV
#BURUDANI : Maneno ya Peter Msechu Peter msechu
cc @blessing_teba
#Burudani #HainaKuchoka #EastAfricaTV