Ni kiasi gani kinafaa kuanzisha biashara ya ndoto yako?
Dondosha comment yako hapo chini na #MamaMia wataisoma live muda huu mpaka saa 6:00 Mchana.
#MamaMia #OngezaBando #HainaKuchoka #EastAfricaRadio
Ni namna gani kipato chako kidogo kinaweza kukufanya kufikia mafanikio?
Dondosha comment yako hapo chini na #MamaMia wataisoma live muda huu mpaka saa 6:00 Mchana.
#MamaMia #OngezaBando #HainaKuchoka #EastAfricaRadio
MamaMia tutakuwa live na @achievefinancetz tukijadili naye juu ya ili Mwanamke afanikiwa katika shughuli zake ni lazima awe na elimu ya masuala ya fedha?
Ni leo kuanzia saa 3:00 Asubuhi mpaka saa 6:00 Mchana. Usithubutu kukosa.
#MamaMia #OngezaBando #HainaKuchoka …
Hali ya upatikanaji wa maji ikoje kwenye eneo lako?
Dondosha comment Yako na #MamaMia wataisoma live Muda huu mpaka saa 6:00 Mchana.
Picha:@daannatz
#MamaMia #EatvKinara #HainaKuchoka #OngezaBando #EastAfricaRadio
Ushauri huu hapa kutoka kwa Mkurugenzi wa Barox Company Limited Mr. Simba Zubery kwa Wajasiriamali na Wafanyabiashara.
ZuberiSimba
@baroxsoap
#MamaMia #OngezaBando
⏰Usikose kusikiliza kipindi maalum siku ya kesho, saa tatu asubuhi #EastAfricaRadio
Dkt. Moiz Adamji,mhamasishaji wa #MagonjwaAdimu na mzazi wa mtoto mwenye ugonjwa adimu atakua live akitoa elimu kuhusiana na #MagonjwaAdimu .
#MamaMia
#OngezaBando
#RareDiseasesDay2024
#MAMAMIA : 'Mwanamke anayetaka kuolewa asiwe mzinifu, yani wewe ukishaanza kuwa mzinifu, mimi hata nikikuoa na mashaka na wewe, kwamba kesho kesho kutwa utachepuka' - Sheikh Mussa, Mkurugenzi @maajabu18
#MamaMia #OngezaBando #HainaKuchoka #EastAfricaRadio
Ni kweli saluni za kike zinaongoza kwa umbea na kwanini?
Dondosha comment yako hapo chini na #MamaMia wataisoma live muda huu mpaka saa 6:00 Mchana.
#MamaMia #OngezaBando #EatvKinara #HainaKuchoka #EastAfricaRadio