Pale vijana wenzangu tunapolalamika Ajira...Nimepiga stori na Mdada anafanya kazi ya mama lishe siku zima pilikapilika za hapa na pale kuanzia saa10 alfajiri hadi saa4 usiku anaambulia 3000 huku sisi hiyo nipesa ya bundle tumwangalie mpambazi julius kapost nini nimeingiwa na imani๐ค
Je, umewahi kusikia 'mashamba ya chumvi'?
Katika pilikapilika zangu nikiwa Mtwara, niliona haya mabwawa nikauliza ni ya nini?
Nikaambiwa, ni 'mashamba ya chumvi', chumvi hii huvunwa kutoka kwenye maji ya bahari. UZI
#visitMtwara #TembeleaMtwara #MtwaraKuchele #DaktariMwandishi
Kunapokucha kila mmoja huwahi pilikapilika, madereva ni kuwa makini njiani ili kuepusha ajali #EndeshaBilaGambe muda wote #JoinThePact
Kazi za pilikapilika zinapelekea kuwa na hali ya uchovu wa mara kwa mara, ila ukiwa na MoXtra mambo ni muruwa jiweke sawa na #MoXtra ๐ช๐ฝ kila wakati. #nguvumoja #tunagusamaishayako
Ni misemo gani mingine uwa unakutana kwenye vyombo vya moto?
Dondosha comment Yako na #MamaMia wataisoma live Muda huu mpaka saa 6:00 Mchana.
#MamaMia #PilikaPilika #HainaKuchoka #EastAfricaRadio