#BURUDANI On #TheCruise ya #EastAfricaRadio imepiga story na mtangazaji maarufu Kenya Mzazi Willy M. Tuva akitaja wimbo wa Kiswahili ulio Hit Dunia.
Usiache kusikiliza #TheCruise kuanzia saa 3:00 - 6:00 usiku kila siku ya J3 mpaka Alhamisi.
#TheCruise #Kiswahili #Malaika #Muziki …
#BURUDANI Comment ya mtangazaji Mzazi Willy M. Tuva akizungumzia soko la Muziki wa Kenya ukanda wa Africa Mashariki.
#TheCruise #Kiswahili #Malaika #Muziki @conniebeily Modoo 255.
#BURUDANI Kwa mujibu wa @qingmadi kutoka Nigeria anasema hamjui msanii yeyote kutoka Tanzania.
Unahisi kipi kinafanya wasanii wetu kutojulikana nchi za nje?
#TheCruise #QingMadi #Nigeria #AfroBeats
#BURUDANI Qing (King) Madi ameiambia #TheCruise ya #EastAfricaRadio kuwa alianza kufanya muziki kama utani kwa sababu ni Hobby yake pia hafanyi muziki kwa ajili ya pesa.
Hii ni #TheCruise ya #EastAfricaRadio kila siku ya J3 mpaka Alhamisi kuanzia 3:00 - 6:00 usiku.
#TheCruise …
#BURUDANI Huko 254 Kenya mashabiki wa muziki huwaambii kitu kuhusu Amapiano za wasanii wa Tanzania @DiamondPlatnumz na Harmonize
Mtangazaji Mzazi Willy M. Tuva huyu hapa kwenye line anafunguka zaidi ukubwa wa #DiamondPlatnumz na #Harmonize Kenya.
#TheCruise #DiamondPlatnumz …
#BURUDANI Msanii mwenye umri mdogo zaidi Nigeria Qing (King) Madi (17) amepiga story na #TheCruise ya #EastAfricaRadio juu ya mapokezi makubwa ya Hit yake ya 'American Love' na matarajio yake baada ya kuachia wimbo huo.
#TheCruise #QingMadi #Nigeria #AfroBeats
#BURUDANI Binti wa Nigeria Qing (King) Madi akifunguka uwezo wa mwanamuziki Fireboy DML baada ya kukutana studio kufanya kazi ya pamoja.
Hii ni #TheCruise ya #EastAfricaRadio kila siku ya J3 mpaka Alhamisi kuanzia 3:00 - 6:00 usiku.
#TheCruise #QingMadi #Nigeria #AfroBeats