World Press Freedom Day (2024)(@WPFD_TZ) 's Twitter Profile Photo

Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo News (Zanzibar), Bw Hassan Khatib Hassan, akielezea moja ya mfumo uitwao 'Sema na Rais Mwinyi' ambao umesaidia kwa namna moja kuwepo kwa na kuongezea namna maadhimisho ya 30 ya ni fursa nyingine kwa

account_circle
Mo Shayo(@mo_shayo) 's Twitter Profile Photo

Ukweli na demokrasia vinapaswa kuakisiwa kwenye matendo yetu yote, ikiwemo mawasiliano mitandaoni. Kuzima sauti za kutoa ukweli si uhuru. CHADEMA Tanzania, tusiwe na haraka ya 'block', badala yake tuchallenge hoja kwa hoja, tujenge mazungumzo yenye afya.

Ukweli na demokrasia vinapaswa kuakisiwa kwenye matendo yetu yote, ikiwemo mawasiliano mitandaoni. Kuzima sauti za kutoa ukweli si uhuru. @ChademaTz, tusiwe na haraka ya 'block', badala yake tuchallenge hoja kwa hoja, tujenge mazungumzo yenye afya. #UhuruWaKujieleza #Demokrasia
account_circle
viola julius(@VwalaViola) 's Twitter Profile Photo

Kuelekea siku ya uhuru wa vyombo vya habari 2023 mgeni rasmi Rais wa Zanzibar

Kauli mbiu 'Kuunda mustakabali wa haki, kama kichocheo cha haki zingine zote za binadamu

Kuelekea siku ya uhuru wa vyombo vya habari 2023 mgeni rasmi Rais wa Zanzibar 

Kauli mbiu 'Kuunda mustakabali wa haki, #UhuruWaKujieleza kama kichocheo cha haki zingine zote za binadamu #WomenInMediaTz
account_circle
DEUSDEDITH SOKA(@DEUSDEDITHSOKA) 's Twitter Profile Photo

Haki ya , unaojumuisha uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa kupokea au kutoa habari au mawazo, uhuru wa ubunifu wa kisanii na uhuru wa kitaaluma na uhuru wa utafiti wa kisayansi, unatakiw kulindwa na .

Haki ya #UhuruWaKujieleza, unaojumuisha uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa kupokea au kutoa habari au mawazo, uhuru wa ubunifu wa kisanii na uhuru wa kitaaluma na uhuru wa utafiti wa kisayansi, unatakiw kulindwa na #KatibaMpya. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
account_circle
DEUSDEDITH SOKA(@DEUSDEDITHSOKA) 's Twitter Profile Photo

hautakiwi kwenye propaganda za vita, uchochezi wa ghasia, utetezi wa chuki unaozingatia rangi, kabila, jinsia au dini, na unaojumuisha uchochezi wa kusababisha madhara hii ni kwa sababu za kiusalama wa nchi.

#UhuruWaKujieleza hautakiwi kwenye propaganda za vita, uchochezi wa ghasia, utetezi wa chuki unaozingatia rangi, kabila, jinsia au dini, na unaojumuisha uchochezi wa kusababisha madhara hii ni kwa sababu za kiusalama wa nchi.  #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
account_circle
Binti Salha Foundation(@BintiSalhaFound) 's Twitter Profile Photo

Mkurugenzi wetu Salha Binti Aziz 🇹🇿 anashiriki Mkutano MISA TANZANIA

Kauli Mbiu: “UHURU WA KUJIELEZA NI MSINGI WA HAKI KWA MAENDELEO ENDELEVU”

Ameshiriki “Pannel Discussion” akiwakilisha mashirika ya wanawake juu ya Uhuru wa kujieleza katika shughuli za NGOs

Mkurugenzi wetu @salhabintiaziz anashiriki Mkutano @MISATANZANIA 

Kauli Mbiu: “UHURU WA KUJIELEZA NI MSINGI WA HAKI KWA MAENDELEO ENDELEVU” 

Ameshiriki “Pannel Discussion” akiwakilisha mashirika ya wanawake juu ya Uhuru wa kujieleza katika shughuli za NGOs

#UhuruWaKujieleza
account_circle
Lisa Ildephonce(@LIldephonce) 's Twitter Profile Photo

hautakiwi kwenye propaganda za vita, uchochezi wa ghasia, utetezi wa chuki unaozingatia rangi, kabila, jinsia au dini, na unaojumuisha uchochezi wa kusababisha madhara hii ni kwa sababu za kiusalama wa nchi.

#UhuruWaKujieleza hautakiwi kwenye propaganda za vita, uchochezi wa ghasia, utetezi wa chuki unaozingatia rangi, kabila, jinsia au dini, na unaojumuisha uchochezi wa kusababisha madhara hii ni kwa sababu za kiusalama wa nchi.  #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
account_circle
Abdulkarim  Juma(@JumaAbdukarim) 's Twitter Profile Photo

hautakiwi kwenye propaganda za vita, uchochezi wa ghasia, utetezi wa chuki unaozingatia rangi, kabila, jinsia au dini, na unaojumuisha uchochezi wa kusababisha madhara hii ni kwa sababu za kiusalama wa nchi.

#UhuruWaKujieleza hautakiwi kwenye propaganda za vita, uchochezi wa ghasia, utetezi wa chuki unaozingatia rangi, kabila, jinsia au dini, na unaojumuisha uchochezi wa kusababisha madhara hii ni kwa sababu za kiusalama wa nchi. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
account_circle
Namdi Azikiwe.🇹🇿🇰🇪(@NamdiAzikiwe) 's Twitter Profile Photo

Baada ya Samia Suluhu kushika madaraka aliahidi kudumisha , Mategemeo ilikuwa ni kuondoa sheria zilizotungwa na mtangulizi wake zilizokuwa zinashambulia maoni na uhuru wa wananchi kukosoa, Je kuna bidiii amefanya?

Baada ya @SuluhuSamia kushika madaraka aliahidi kudumisha #UhuruWaKujieleza , Mategemeo ilikuwa ni kuondoa sheria zilizotungwa na mtangulizi wake zilizokuwa zinashambulia maoni na uhuru wa wananchi kukosoa, Je kuna bidiii amefanya?  #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
account_circle
iam_Jac(@Iam_jac5) 's Twitter Profile Photo

hautakiwi kwenye propaganda za vita, uchochezi wa ghasia, utetezi wa chuki unaozingatia rangi, kabila, jinsia au dini, na unaojumuisha uchochezi wa kusababisha madhara hii ni kwa sababu za kiusalama wa nchi.

#UhuruWaKujieleza hautakiwi kwenye propaganda za vita, uchochezi wa ghasia, utetezi wa chuki unaozingatia rangi, kabila, jinsia au dini, na unaojumuisha uchochezi wa kusababisha madhara hii ni kwa sababu za kiusalama wa nchi. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
account_circle
Shija S.S.Shibeshi(@S4Shibeshi) 's Twitter Profile Photo

Serikali inatakiwa kujua watu wanaotumia ni kwa ajili ya mapenzi na nchi na sio uadui tunahitaji haki hii kuachwa huru kwa kila mwananchi kw akupitia ” — Boniface Mwabukusi VIDEO : youtube.com/live/a6hGcP4l9…

Serikali inatakiwa kujua watu wanaotumia #UhuruWaKujieleza ni kwa ajili ya mapenzi na nchi na sio uadui tunahitaji haki hii kuachwa huru kwa kila mwananchi kw akupitia #KatibaMpya” —  @Mwabuk2Boniface #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : youtube.com/live/a6hGcP4l9…
account_circle
Tanganyika Law Society(TLS)(@TanganyikaLaw) 's Twitter Profile Photo

TLS imeendesha mafunzo ya kuwajengea uwezo Asasi za Kiraia toka sahemu mbalimbali nchini juu ya Haki ya Uhuru wa kujieleza ikiwa ni sehemu ya Utekelezaji wa Majukumu yake kwa Umma. Mafunzo hayo yamefanyika tarehe 20 Mei 2024 jijini Dodoma.

TLS imeendesha mafunzo ya kuwajengea uwezo Asasi za Kiraia toka sahemu mbalimbali nchini juu ya Haki ya Uhuru wa kujieleza ikiwa ni sehemu ya Utekelezaji wa Majukumu yake kwa Umma. Mafunzo hayo yamefanyika tarehe 20 Mei 2024 jijini Dodoma. #uhuruwakujieleza
account_circle
Idrisa Kassim Rubibi(@Rubibi_idrisa) 's Twitter Profile Photo

“Uhaini ni kosa pekee lilipopo kwenye katiba, na ndio kosa la juu zaidi katika sheria zetu na adhabu yake pekee ni kifo, si halali kuwapa kosa hili watu waliotumia haki ya ’ — Joseph Oleshangay VIDEO : bit.ly/45VjICR

“Uhaini ni kosa pekee lilipopo kwenye katiba, na ndio kosa la juu zaidi katika sheria zetu na adhabu yake pekee ni kifo, si halali kuwapa kosa hili watu waliotumia haki ya #UhuruWaKujieleza ’ — @Oleshangay   #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/45VjICR
account_circle
Abdulkarim  Juma(@JumaAbdukarim) 's Twitter Profile Photo

Moja ya dalili kwamba kuna upungufu nchi ni namba ambayo vyombo vya habari na viongozi wa taasisi mbalimbali wamekaa kimya kuhusu hali ya loliondo VIDEO : bit.ly/46Bbgsi

Moja ya dalili kwamba kuna upungufu #UhuruWaKujieleza nchi ni namba ambayo vyombo vya habari na viongozi wa taasisi mbalimbali wamekaa kimya kuhusu hali ya loliondo  #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/46Bbgsi
account_circle