Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo News (Zanzibar), Bw Hassan Khatib Hassan, akielezea moja ya mfumo uitwao 'Sema na Rais Mwinyi' ambao umesaidia kwa namna moja kuwepo kwa #UhuruWaKujieleza na kuongezea namna maadhimisho ya 30 ya #WPFD ni fursa nyingine kwa #VyombovyaHabari
Hatuezi zungumzia #UhuruWaKujieleza pasipo serikali kuwa mstari wa mbele katika kuilinda tasnia ya Habari dhidi ya vitisho wanavyokumbana navyo katika mazingira yao ya kazi.
#WPFD2023_TZ
#DemokrasiaYetu
#VyomboVyaHabariHuru
Hongera Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuimarisha misingi ya demokrasia na kukuza uhuru wa kujieleza Tanzania. Uongozi wako unatoa mfano wa kuigwa kwa vitendo na kuonyesha umuhimu wa mazungumzo katika kujenga jamii yenye nguvu na umoja. 🗣️🇹🇿 #DemokrasiaTanzania #UhuruWaKujieleza
Ukweli na demokrasia vinapaswa kuakisiwa kwenye matendo yetu yote, ikiwemo mawasiliano mitandaoni. Kuzima sauti za kutoa ukweli si uhuru. CHADEMA Tanzania, tusiwe na haraka ya 'block', badala yake tuchallenge hoja kwa hoja, tujenge mazungumzo yenye afya. #UhuruWaKujieleza #Demokrasia
#UhuruWaKujieleza hautakiwi kwenye propaganda za vita, uchochezi wa ghasia, utetezi wa chuki unaozingatia rangi, kabila, jinsia au dini, na unaojumuisha uchochezi wa kusababisha madhara hii ni kwa sababu za kiusalama wa nchi. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
Haki ya #UhuruWaKujieleza , unaojumuisha uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa kupokea au kutoa habari au mawazo, uhuru wa ubunifu wa kisanii na uhuru wa kitaaluma na uhuru wa utafiti wa kisayansi, unatakiw kulindwa na #KatibaMpya . #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
Hata kama kuzima kwa mtandao kunaweza sababisha udhibiti wa masuala hatarishi, Serikali inapaswa kuzingatia haki za binadamu za #UhuruWaKujieleza na kupata habari ambazo ni muhimu katika kuendeleza demokrasia. #InternetIsLife #MaishaNiMtandao #KatibaMpya
#UhuruWaKujieleza hautakiwi kwenye propaganda za vita, uchochezi wa ghasia, utetezi wa chuki unaozingatia rangi, kabila, jinsia au dini, na unaojumuisha uchochezi wa kusababisha madhara hii ni kwa sababu za kiusalama wa nchi. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
“ #UhuruWaKujieleza unazuia upatikanaji wa maslahi ya watawala ikiwepo kutoka madarakani” — Gwangway Ole yohani #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3TG1GRo
Kuelekea siku ya uhuru wa vyombo vya habari 2023 mgeni rasmi Rais wa Zanzibar
Kauli mbiu 'Kuunda mustakabali wa haki, #UhuruWaKujieleza kama kichocheo cha haki zingine zote za binadamu #WomenInMediaTz
'Uchochezi' kama 'Ugaidi' kila mtu ana tafsiri yake.
#UhuruWaKujieleza unaminywa kwa namna mbalimbali
“ #UhuruWaKujieleza ni namna mojawapo ya uwajibikaji katika nchi wanaoufanya wananchi kwa maslahi ya Taifa lao unatakiwa kulindwa na si kuzuiliwa” — Mwaura Robert #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3TG1GRo
“Serikali inazuia #UhuruWaKujieleza kwa kuwa kuna maovu wanaficha ambayo hawataki wananchi wajue. Serikali inatakiwa kujua #WenyeNchiWananchi wanatakiwa kuwa huru kuisema serikali” — Gwangway Ole yohani #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3TG1GRo
“Wananchi wanajengewa fikra za uoga za kusifia vitu vinavyofanywa na serikali na kusema kuwa Rais katoa pesa! Hii sawa #UhuruWaKujieleza unatakiwa kuwepo kwa wanaosifia na kukosoa pia ” — Gwangway Ole yohani #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3TG1GRo
“Hatuwezi kuwa na kiongozi au viongozi ambao hatuwezi kuwahoji chochote kuhusu mambo ya serikalini yanavyokwenda. Haki ya #UhuruWaKujieleza ni lazima izingatiwe” ” — #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3Sp6Saw
Serikali inatakiwa kujua watu wanaotumia #UhuruWaKujieleza ni kwa ajili ya mapenzi na nchi na sio uadui tunahitaji haki hii kuachwa huru kwa kila mwananchi kw akupitia #KatibaMpya ” — Boniface Mwabukusi #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : youtube.com/live/a6hGcP4l9…
Kuzimwa kwa intaneti kunapunguza #UhuruWaKujieleza , kutatiza maendeleo ya kiuchumi na ukuaji wa biashara ya ndani, kutishia usalama wa umma na kuzidi kuvutia uchunguzi wa kimataifa. #InternetIsLife #MaishaNiMtandao #InternetShutDown
#uhuruwakujieleza
Sasa wataelewa kuwa WaTZ wanjuwa #Katibayetu inavunjwa na hawapendi haya mambo kabisa.
Serikali wanalaumu “wanaharakati” kwa kuwaINFLUENCE wananchi vibaya.
Hapana…..
Wanaharakati tunasema yale wananchi wanafikiria lakini wanaogopa au hawana platform ya kusema.
“Watu wengi ambao walikuwa ni mashabiki wa demokrasia na haki wote walibambikiziwa kesi za uhujumu uchumi kwa kuwa tuna serikali isiyotaka kukosolewa na kutoa #UhuruWaKujieleza ” — J.James #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi youtube.com/live/6svRwGLn1…