Mwakinyo akizichapa na Kuvesa
#MwakinyoKuvesa #HassanMwakinyo #KuvesaKatembo #Fight #KO #TBConline #TBCupdates
SMITH vs MWAKINYO: Tunaanza uchambuzi saa 2:00 usiku LIVE #AzamSports1HD kuelekea pambano hili
#FightNightLiverpool #SmithMwakinyo #SmithVsMwakinyo #Vitasa Night #UsikuWaVitasa #Vitasa #Vitasa Uingereza #Vitasa Liverpool #HassanMwakinyo #Mwakinyo #AzamPesa #HudumazaKifalme
'Ooooh Hassan Mwakinyo......Ooooh Hassan Mwakinyo....!!!', - Hizi ni salamu kutoka kwa Watanzania waishio nchini Uingereza na wako tayari kwenda kumpa nguvu, #HassanMwakinyo dhidi ya #LiamSmith usiku huu
Tuko LIVE #AzamSports1HD
#FightNightLiverpool #SmithMwakinyo #Vitasa
@MshanaBecka Ellyvice⚡ HON.SPEAKER KILESI🌴🇹🇿🇹🇿🚩🇰🇪🇰🇪👢 NaNaLee_Tz🥀(🇰🇷)낸시♉️ Single handsome ☺️ 💦 Big 007❄️ Strawberry🍓 Adventure-360 @lindiweyuston96 CHOCOLATE 🍫😋 @Mwalimu_Tz @Quee_n__ Vicent Maganga @akanda_zaman hassan mwakinyo Beccka Msumari @AdrianV____ GHMFelix Dr.Kamtu Ka Mbao™ 🇹🇿 Family Love
VITASA: Dan Azeez anaibuka mshindi kwenye pambano la kwanza la utangulizi akimpiga Shakan Pitters kwa pointi.
Tuko LIVE #AzamSports1HD
#FightNightLiverpool #SmithMwakinyo #SmithVsMwakinyo #Vitasa Night #Vitasa #Vitasa Liverpool #HassanMwakinyo #Mwakinyo #TaleOfTheTape
#MICHEZO Katibu mkuu wa kamisheni ya ngumi TPBRC, George Silasi amesema kuwa kwa sasa kamisheni ya ngumi haiwezi kuwaruhusu Mwakinyo na Twaha kiduku wapigane.
#TPBRC #TwahaKiduku #HassanMwakinyo #EastAfricaTV
pole sana champ hassan mwakinyo kwa kumpoteza mama,Mungu akupe faraja na moyo wa subra kunako wakati huu mgumu kwako.
''Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema aipumzishe roho ya mama yetu mpendwa pahala pema peponi''
Jebra Kambole hassan mwakinyo Tito Magoti, PG Mtanganyika OLE 26 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
@Mwalimu_Tz @MshanaBecka Ellyvice⚡ HON.SPEAKER KILESI🌴🇹🇿🇹🇿🚩🇰🇪🇰🇪👢 NaNaLee_Tz🥀(🇰🇷)낸시♉️ Single handsome ☺️ 💦 Big 007❄️ Strawberry🍓 Adventure-360 @lindiweyuston96 CHOCOLATE 🍫😋 @Quee_n__ Vicent Maganga @akanda_zaman hassan mwakinyo Beccka Msumari @AdrianV____ GHMFelix Dr.Kamtu Ka Mbao™ 🇹🇿 Indeed
@MshanaBecka Ellyvice⚡ HON.SPEAKER KILESI🌴🇹🇿🇹🇿🚩🇰🇪🇰🇪👢 NaNaLee_Tz🥀(🇰🇷)낸시♉️ Single handsome ☺️ 💦 Big 007❄️ Strawberry🍓 Adventure-360 @lindiweyuston96 CHOCOLATE 🍫😋 @Mwalimu_Tz @Quee_n__ Vicent Maganga @akanda_zaman hassan mwakinyo Beccka Msumari @AdrianV____ @Mabokee1 GHMFelix pamoja saana
Jumamosi hii Septemba 03, 2022, Bondia #HassanMwakinyo atapanda ulingoni kuzichapa na bodia #LiamSmith wa Uingereza katika ukumbi M&S Bank Arena ndani ya Jiji la Liverpool.
Pambano hili utalishuhudia mubashara kupitia AzamSports1HD kuanzia saa 12:00 jioni.
Bondia Hassan Mwakinyo ameshinda pambano lisilo na ubingwa dhidi ya Kuvesa Katembo kutoka Afrika Kusini.
Pambano hilo lililochezwa katika uwanja wa Jamhuri, Dodoma lilikuwa na mizunguko (round) nane ambapo ameshinda kwa alama.
#MwakinyoKuvesa #HassanMwakinyo #KuvesaKatembo