Wananchi wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari kufuatia taarifa ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kuripoti uwepo wa mgandamizo mdogo wa hewa katika Bahari ya Hindi mashariki mwa pwani ya Mtwara.
#EastAfricaTv #EATVSAA1 #UtajiriWaHabari
#VIDEO Waendesha bodaboda mkoa wa Dar es Salaam, wameiomba Serikali kufunga kamera za usalama barabarani ili kuwavumbua madereva wote wenye tabia ya kusababisha ajali na kukimbia.
Mariam Shabani
#EastAfricaTv #EATVSAA1 #UtajiriWaHabari
#VIDEO Hamis kavila maarufu kama Father Queen Mkazi wa Mwananyamala jijini Dar es Salaam, ameiomba #EATV imsikilize matatizo yake unahisi ana jambo gani?
cc Mariam Shabani
#EastAfricaTv #EATV SAA1 #UtajiriWaHabari
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa Meja Jeneral Rajabu Mabele Ameagiza Vijana Wote wanaohitimu mafunzo ya Kijeshi, Kutumika kusaidia Taifa katika kudumisha amani kwa Watanzania, na kujiepusha na matumizi ya dawa za kulevya.
#EastAfricaTv #EATVSAA1 #UtajiriWaHabari
VIJANA WAPEWA MBINU YA JINSI YA KUJISHUGULISHA.
Wakati leo ikiwa ni siku ya wafanyakazi duniani, vijana wameaswa kuwa shughuli za kufanya zipo na kwamba hakuna haja ya kukaa kijiweni na kufanya uhalifu.
#EastAfricaTv #EATVSAA1 #UtajiriWaHabari #KURASA
WAHITIMU WA ELIMU YA DINI WATAKIWA KUPAMBANA NA MMOMONYOKO WA MAADILI
Wahitimu wa dini nchini wametakiwa kuwa vinara katika mapambano dhidi ya mmomonyoko wa maadili ili kuweza kuwa na jamii bora yenyenustawi.
#EastAfricaTv #EATVSAA1 #UtajiriWaHabari #KURASA
Kijana anayefahamika kwa jina la Shaban Athuman Mgosi (39) mkazi wa Majengo Mapya mjini Moshi ameuawa leo saa 12:20 asubuhi baada ya ugomvi baina yake na rafiki yake kwa kile kinachodaiwa kutaka kudhulumu simu.
cc Gerald Michael Nyang'ali
#EastAfricaTv #EATVSAA1 #UtajiriWaHabari
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Tundu Lissu, amewaomba watanzania kujitokeza katika maandamano yanayoandiliwa na chama hicho ili kuunganisha nguvu kwa pamoja kwa ajili kudai Katiba Mpya. Tundu Antiphas Lissu
#EATVSAA1 kila Jumatatu - Ijumaa
Saa 1:00-2:00 Usiku
#UtajiriWaHabari …
WALIOFARIKI KWA MAFURIKO MOSHI WAAGWA
Miili ya watu waliofariki kwa mafuriko wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro imeagwa leo katika viwanja vya Halmashauri ya Wilaya hiyo na Mamia ya waombolezaji.
#EATVSAA1 #EastAfricaTV
#UtajiriWaHabari
#HainaKuchoka