Tuambie hapa chini kwenye comment ni wanawake wa mkoa gani hapa nchini wanaongoza kuwa na hasira na ubabe?
#EastAfricaTV #EastAfricaRadio #Wanawake #Tanzania #HainaKuchoka
#CRDBBankFederationCup : Kutokea uwanja wa Azam Complex mchezo unaoenda kuanza hivi karibuni ni Young Africans dhidi ya Tabora United.
Baki na kurasa zetu kwa kila kinachoendelea.
#EastAfricaTv #EastAfricaRadio #HainaKuchoka #CRDBBankFederationCup #KombelaShirikisholaCRDBBank
#CRDBBankFederationCup : Kwa Yanga hii ni vyema kuzingatia mazoezi maana raha zikizidi hukaribisha magonjwa.
HT: Yanga 1 - 0 Tabora United (Aziz Ki '35')
#EastAfricaTv #EastAfricaRadio #HainaKuchoka #CRDBBankFederationCup #KombelaShirikisholaCRDBBank
#DADAZ : Msanii gani huyu wa hapa Bongo anayependa drama kwenye vitu serious kama msiba?
cc Bhoke Nia Egina @msnajmapaul @mwanneothmankamby
#DADAZ #EastAfricaTV #KunaKitu #HainaKuchoka
“Kuna ngoma mbaya nyingi zime-hit kwa sababu ya mkakati” anasema #DullySykes
Legend wa BongoFlava #DullySykes yupo hapa New Highbury Sports and Lounge Tabata Mawenzi kupitia #FridayNightLive ya #EastAfricaTV na #EastAfricaRadio .
#FridayNightLive #FNL #DullySykes Tbway360…