Ado Shaibu
@AdoShaibu
Secretary General, Alliance for Change & Transparency (ACT Wazalendo)
ID:594493764
https://www.actwazalendo.or.tz/ 30-05-2012 08:10:05
24,5K Tweets
62,3K Followers
1,3K Following
UCHAGUZI ACTWASO
Tarehe 27 Aprili, Katibu wa Idara ya Vyuo vikuu Ndg Baswariyyu amekuwa mgeni rasmi katika Uchaguzi wa kuwapata Viongozi wa ACTWASO Tawi la UDSM. Ndugu Baswarriyu ameahidi ACT kukita mizizi Vyuo vyote nchini.
#SoteniWashindi
#UDSMisPurple
#NgomeipoKazini
Kiongozi wa ACTWazalendo, Ndugu Dorothy Semu akitoa neno la shukrani baada ya kushiriki ibada maalum ya kumshukuru Mungu kwa kumtendea mambo makubwa katika maisha yake. Ibada imefanyika leo katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Usharika wa Nshara Machame.
Kiongozi wa ACTWazalendo, Ndugu Dorothy Semu akitoa neno la shukrani baada ya kushiriki ibada maalum ya kumshukuru Mungu kwa kumtendea mambo makubwa katika maisha yake. Ibada imefanyika leo katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Usharika wa Nshara Machame.
Msiogope mabadiliko kwenye vyama. Leo hii, Dorothy Semu anapeleka ACTWazalendo katika maeneo ambako pengine Zitto MwamiRuyagwa Kabwe angepata taabu kuingia. Anazungumza na kuwaelewa watu kwa namna ambayo huenda ZZK asingeweza. Mabadiliko ni muhimu. Wakati wote, popote
Kilimanjaro 📌
Kiongozi wa ACTWazalendo, Ndugu Dorothy Semu ameshiriki ibada na kutoa sadaka ya shukrani kwa Mungu kwa matendo makuu aliyo mtendea maishani . Ibada imefanyika leo katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Usharika wa Nshara Machame.
Askofu mstaafu wa…
Leo asubuhi nilishiriki Ibada ya shukran ya Dorothy Semu Kiongozi wa Chama ACTWazalendo katika Kanisa la KKKT Usharika wa Nshara, Machame mkoani Kilimanjaro. Mkuu wa Kanisa Mstaafu wa Kanisa la KKKT Baba Askofu Shoo alikuwa sehemu ya wageni waliombatana nasi katika ibada hiyo.
'Zitto MwamiRuyagwa Kabwe natarajia kwamba utaendelea kukaa pembeni kama mshauri. Mimi nilikuwa Mkuu wa Kanisa, sasa nimemaliza kipindi changu kama ulivyomaliza; na ukaachia kwa amani—sio kama kwenye vyama vingine.'
Askofu Mstaafu wa KKKT
Fredrick Shoo
#VIDEO Dkt Nasra Omar, Waziri Kivuli kutoka ACTWazalendo yuko live #EastAfricaTV akizungumzia miaka 60 ya Muungano
#KM60SiMchezo
#KM60ZaMuungano
#HainaKuchoka
KC Dorothy Semu, Makamu Mwenyekiti Bara, Isihaka Mchinjita na Kaimu Katibu Mkuu, Salim Bimani wametembelea Maporomoko ya Maji ya Materuni.
Wakizungumza wakiwa katika maporomoko hayo, viongozi wamesikitishwa kuona utajiri wa vivutio unavyoshindwa kuacha athari kwenye maisha ya watu;…
Kiongozi wa ACTWazalendo, Ndugu Dorothy Semu na Makamu Mwenyekiti Bara, Ndugu Isihaka Mchinjita leo walikuwa Moshi Fm, pamoja na mambo mengine wamezungumzia miaka 10 ya chama na Mkutano Mkuu wa Kidemokrasia utakaofanyika kesho Aprili 27, 2024.
#10MaslahiYaTaifa
#10MamlakaKamili
Kiongozi wa ACTWazalendo, Ndugu Dorothy Semu na Makamu Mwenyekiti Bara, Ndugu Isihaka Mchinjita leo walikuwa Moshi Fm, pamoja na mambo mengine wamezungumzia miaka 10 ya chama na Mkutano Mkuu wa Kidemokrasia utakaofanyika kesho Aprili 27, 2024.
#10MaslahiYaTaifa
#10MamlakaKamili
Kiongozi wa ACTWazalendo, Ndugu Dorothy Semu na Makamu Mwenyekiti Bara, Ndugu Isihaka Mchinjita leo walikuwa Moshi Fm, pamoja na mambo mengine wamezungumzia miaka 10 ya chama na Mkutano Mkuu wa Kidemokrasia utakaofanyika kesho Aprili 27, 2024.
#10MaslahiYaTaifa
#10MamlakaKamili
Kwaniaba ya Ngome ya vijana_Official ,tunasikitika kitendo cha Police kuwakamata ndug. MalisaGJ na Boniface Jacob kwa kupaza sauti dhidi ya mauaji ambayo Police wamekuwa wakiyafanya dhidi ya Vijana. Ni ukweli usiopingika Police wanauwa vijana jambo hili tumekuwa tukilisema siku zote.