Exaud Msaka Habari 📸🎤⚽️
@exaudwamtei
https://t.co/AvZ7SCeoTO…
ID:823354555
http://www.habari24.blogsport.com 14-09-2012 14:01:17
7,7K Tweets
3,0K Followers
269 Following
#VIDEO Wakati chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tanzania wakihamasishana kuchanga fedha kwa ajili ya kununua gari jipya la Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu, umeibuka mjadala kwenye #SupaBreakfast
@Kissadaniel2 anasema nguvu ya kuhamasisha kununua gari itumike pia
#VIDEO Barikiel Yusuph mkazi wa Mabibo Dar es salaam ameweka mtazamo wake kuhusu mchango wa kununua gari la Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Tundu Lissu. ameeleza sababu zake za kwanini hakuna tatizo kufanya hivyo
Unaonaje mawazo yake ?
Cc Exaud Msaka Habari 📸🎤⚽️ kissa_daniel
#LENZI Matukio ya vijana kujiua kwa sababu mbalimbali ikiwemo msongo wa mawazo yameendelea kuripotiwa nchini, Tuambie wewe unatumia njia gani kujiepusha na msongo wa mawazo ?
Karibu kwenye #SupaBreakfast ya #EastAfricaRadio maoni yako yatasomwa LIVE
Cc Exaud Msaka Habari 📸🎤⚽️
#SUPABREAKFAST : ''Kwa experience yangu mimi naweza kusema niliolewa na mtoto wa Mama, Mume wangu alikuwa mama anachosema ndiyo kinaendesha ndoa yetu, sisi tunaishi Dar lakini maelekezo tuishije yanatokea mkoani. uko na mwenzio kwenye ndoa lakini hakui kila kitu ni Mama aamue'' -
#SUPABREAKFAST : ''Mimi siyo niliyevunja ndoa, Ni mwenzangu kwa sababu pia anaamuliwa hata issue ya talaka pia haikuwa maamuzi yake; ni Mama amesema, Mama amesema mnajikuta tu mmefikia huko'' - Editha Emmanuel mratibu mwanamke futa machozi
#EastAfricaRadio #HainaKuchoka
#SUPABREAKFAST : ''Maswala ya ndoa hayana utaalamu, kukaa kwenye ndoa miaka 10 siyo kigezo cha kuto kuachana, inategemea mpaka mmefikia hapo shida ni nini'' - Editha Emmanuel mratibu mwanamke futa machozi
#EastAfricaRadio #HainaKuchoka #SupaBreakFast #KunaKitu
#VIDEO Wakili Omar Kilwanda, ameeleza ni kwa namna gani tamko la talaka linavyotolewa mahakamani
#SupaBreakfast
#EastAfricaRadio
#VIDEO Ukitelekezwa kwa muda wa miaka miwili unaweza kwenda kudai talaka lakini pia mitindo tofauti ya maisha inatajwa kuchangia mume au mke kudai talaka
#SupaBreakfast
#EastAfricaRadio
#DriveShow : “Hakikisha unapotaka kuandika barua ya kuomba kazi unaandika kifupi siyo lazima uanze kujielezea sijui mimi ni fulani kijana wa kiume sijui nimezaliwa mwaka fulani naishi sehemu fulani, nina akili timamu, mara ooh ni kijana mpole, nilizaliwa sijui wapi, unazunguka
#DriveShow : “Side mirror ni muhimu sana na msizitoe bila sababu, nikikukuta barabarani huna side mirror lazima nikutoze faini, kuanzia kwenye pikipiki au hata gari ni muhimu sana lazima nikugonge faini ukiwa umezitoa” – Afande Mwita ndani ya Drive Show ya East Africa Radio.