#DADAZ : Ungefanya nini ukigundua mpenzi wako anatoka kimahusiano na rafiki yako na kumbe walikuwa wanajuana wewe hujui?
#UlizaDADAZ #EastAfricaTV #HainaKuchoka
#DADAZ : Leo katika DADAZ tuambie, hivi wanandoa wanapaswa waishi vipi ili wadumu?
Usikose kutazama DADAZ leo Alhamis saa 5 asubuhi ndani ya #EastAfricaTV .
#DADAZ #EastAfricaTV #HainaKuchoka #NDOA
My Favorite Fidelion!
Thank you 🙏🙏
Have a good day 🍀🍀
$oran ッ \191\ 🟧 DADAZ Family
#FIDELION #DADAZ #피델리온
#DADAZ : Leo katika DADAZ tunakuuliza, hivi unapenda kuzungukwa na wanawake wa aina gani?
Usikose kutazama DADAZ leo Jumanne saa 5 kamili asubuhi kupitia #EastAfricaTV pekee na comment yako itasomwa live.
Cc Bhoke Nia Egina @msnajmapaul @mwanneothmankamby
#DADAZ #EastAfricaTV …
#DADAZ : Mtangazaji wa DADAZ @mwannrothmankambh amesema Hana sababu ya kwenda kufanya plastis surgery Kwa ajili ya kubadilisha maumbile kwani anajikubali muundo wa maumbile yake.
Je wewe unajikubali na umbo lako?
#DADAZ #EastAfricaTV #HainaKuchoka
#DADAZ : Leo katika DADAZ tuambie, huwa unaoga kwa sabuni inayozingatia afya ya ngozi yako au ili mradi tu umesafisha mwili muda huo? Desturi yako iko vipi katika hilo?
Usikose kutazama DADAZ leo Jumatatu saa 5 asubuhi ndani ya #EastAfricaTV .
#DADAZ #EastAfricaTV #HainaKuchoka …
#DADAZ : Mhariri Salome Kitomari amesema alikuwa akiweka kigodoro kwenye makalio ili kuzuia maumivu ya fimbo alipokuwa shule ya msingi.
Je, wewe ulikuwa unaweka nini kuzuia fimbo?
#DADAZ #EastAfricaTV #HainaKuchoka
#DADAZ : Bhoke Nia Egina leo kwenye DADAZ amefunguka kwa kusema katika ukuaji wake aliwahi kupuliza kondom akidhani puto lakini alishtuka baada ya kuona puto hilo linateleza.
#DADAZ #EastAfricaTV #HainaKuchoka #Malezi