#TheCruise : Discussion ni unaamini Collabo zinaweza kumpeleka msanii katika levels za kimataifa? @orgenes13 yeye anaamini collabo haziwezi kumpeleka msanii kimataifa, vipi kwako?
The Cruise ipo live muda huu
@conniebeily @modoo_255 & @orgenes13
#TheCruise #EastAfricaRadio
#TheCruise : Huu ndio ukubwa alionao msanii DreamDoll kutoka Marekani aliyeshiriki kwenye wimbo mpya wa @rayvanny unaitwa #ShakeShake .
The Cruise ipo live muda huu
@conniebeily @modoo_255 & @orgenes13
#TheCruise #EastAfricaRadio #KunaKitu
#5Selekt : Hivi umewahi kuambiwa neno gani na mtu na likakuumiza sana na hutosahau maisha yako yote?
Usiikose #5Selekt ya #EastAfricaTV kuanzia saa 11:00 jioni.
cc #modoo255 & #conniebeily
#EastAfricaTV #HainaKuchoka
#5Selekt : Unaamini muziki wa Hip Hop hapa Bongo umekufa kisa haufanyi vizuri nje ya Tanzania?
cc @modoo_255 @conniebeily
#5Selekt #EastAfricaTV #HainaKuchoka
#TheCruise : @modoo_255 alivyotisha kwenye #CruiseKareokee ya East Africa Radio (The Cruise).
Unampa asilimia ngapi?
@conniebeily @modoo_255 & @orgenes13
#TheCruise #EastAfricaRadio #KunaKitu
#5Selekt : Kitu gani cha kipuuzi umewahi kufanya kwenye mapenzi?
Usikose kutazama #5Selekt ya #EastAfricaTV na team ya ushuani #Modoo255 & #ConnieBeily kuanzia saa 11:00 jioni.
#5Selekt #EastAfricaTV #HainaKuchoka
#BURUDANI Msanii The Nanay akipiga story na #TheCruise ya #EastAfricaRadio watu kufananisha muonekano wake na Mzee wa Commercial MASTA
Ni kweli unamuona AY ndani ya #TheNanay ?
#TheCruise kila siku ya J3 mpaka Alhamisi kuanzia 3:00 - 5:00 usiku.
#TheCruise @conniebeily
#BURUDANI Sikia ufundi na ukali wa mshindi wa #TheCruise KaraokeChallenge2023 Subzero Tz akiimba live Kijiti ya Mbosso
#TheCruise #Mbosso #SubZero #Karaoke Connie
#5Selekt : Discussion ya @modoo_255 na @conniebeily kuhusu Producers wakali kwenye muziki wa Bongofleva, kwako nani Mtayarishaji bora wa muziki hapa nchini?
#5Selekt #EastAfricaTV #HainaKuchoka
#5Selekt ; Ni mwaka gani ulipitia kipindi kigumu zaidi kwenye maisha na ilikuwaje?
Tukutane kwenye #5Selekt ya #EastAfricaTV kuanzia saa 11;00 jioni.
cc @modoo_255 @conniebeily
#EastAfricaTV #HainaKuchoka
#5Selekt : Leo kwenye #Chemba tuambie, ni kitu gani kinakukera zaidi katika mitandao ya kijamii?
Ungana na team ya Ushuani #5Selekt ya #EastAfricaTV kuanzia saa 11:00 jioni.
cc @modoo_255 & @conniebeily
#5Selekt #EastAfricaTV #HainaKuchoka
#BURUDANI Mchekeshaji @ericomondi anasema Industry ya Comedy East Africa imekufa kwa sababu baada ya kuacha kufanya kazi hiyo mpaka akiamua kurudi jukwaani kuanza kuchekesha tena.
#TheCruise #EricOmond #Kenya @conniebeily @modoo_255
#BURUDANI Mwanamuziki wa Bongo unaweza kumuita #ChrisBrown wa Tanzania?
Taylor ICY yeye amemtaja #DiamondPlatnumz .
Hii ni #TheCruise ya #EastAfricaRadio kila siku ya J3 - Alhamisi saa 3:00 mpaka 6:00 usiku.
#TheCruise #DiamondPlatnumz #ChrisBrown #Trending Connie Modoo
#BURUDANI 'KRG si msanii ila atakuwa ni mwana biashara ambaye saa zingine ni Mcheshi' - ERIC OMONDI akijibu swali la Connie kuhusu KRG kutamba kuwa msanii Tajiri zaidi Kenya.
#TheCruise #EricOmond #Kenya Connie @modoo_255