#5Selekt : Unaamini muziki wa Hip Hop hapa Bongo umekufa kisa haufanyi vizuri nje ya Tanzania?
cc @modoo_255 @conniebeily
#5Selekt #EastAfricaTV #HainaKuchoka
#5Selekt : @conniebeily anasema kwake ni bora kuwa na Shuga Daddy kuliko vijana wa rika lake katika mahusiano.
cc @modoo_255 @conniebeily
#5Selekt #EastAfricaTV #HainaKuchoka
#5Selekt : Kitu gani cha kipuuzi umewahi kufanya kwenye mapenzi?
Usikose kutazama #5Selekt ya #EastAfricaTV na team ya ushuani #Modoo255 & #ConnieBeily kuanzia saa 11:00 jioni.
#5Selekt #EastAfricaTV #HainaKuchoka
Walevi wa ile bar wamenipigia simu muda huu kuwa Mtangazaji wa East Africa TV kipindi cha 5SELEKT Janeth Mbise AKA Kiddoo ametemana na meda hiyo na leo saa 10 jioni atatambulishwa media nyengine.
Kuna nini kule EATV/Radio?
#WaleviWaileBar
#5Selekt : Hivi umewahi kuambiwa neno gani na mtu na likakuumiza sana na hutosahau maisha yako yote?
Usiikose #5Selekt ya #EastAfricaTV kuanzia saa 11:00 jioni.
cc #modoo255 & #conniebeily
#EastAfricaTV #HainaKuchoka
Triple C alijiunga na kikosi cha Simba SC mwaka gani?
.
.
.
Dondosha comment yako hapo chini, majibu utapata kwenye #5SELEKT kila siku Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 11:00 jioni EATV.
#QUIZ #DONDOO #EastAfricaTV #hainakuchoka
#5Se lekt : @conniebely aibu iliyompata ni wigi lilimdondoka akiwa kwenye pikipiki na hakurudi kulifuata.
Je wewe ulishawai kudondoka mbele za watu?
#5Se ;lekt #EastAfricaTV #HainaKuchoka
#5Selekt : Leo kwenye #Chemba tuambie, ni kitu gani kinakukera zaidi katika mitandao ya kijamii?
Ungana na team ya Ushuani #5Selekt ya #EastAfricaTV kuanzia saa 11:00 jioni.
cc @modoo_255 & @conniebeily
#5Selekt #EastAfricaTV #HainaKuchoka
#5Selekt : Mwanetu anasema yeye alidondoka kwenye daladala akiwa anapanda na badala ya kuambiwa pole watu walimcheka sana.
#5Selekt #EastAfricaTV #HainaKuchoka
#5Selekt : Leo katika Chemba tuambie, umewahi kuanguka au kuteleza mbele ya umati na aibu yake ilikuwaje?
Ungana na team ya Ushuani #5Selekt ya #EastAfricaTV kuanzia saa 11 jioni.
#5Selekt #EastAfricaTV #HainaKuchoka
#5Selekt : @modoo_255 kashaibiwa wazo lake la vipindi na kuahidiwa ataitwa wewe ni wazo gani lako uishawahi kuibiwa na watu katika biashara au kitu kingine chochote?
#5Selekt #HainaKuchoka #EastAfricaRadio
Je Usain Bolt ameshinda medali ngapi za dhahabu kwenye michezo ya Olimpiki?
.
.
Dondosha comment yako hapo chini, majibu utapata kwenye #5SELEKT kila siku Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 11:00 jioni EATV.
#QUIZ #DONDOO #EastAfricaTV #HainaKuchoka
Quiz: Michuano ya tenisi ya Wimbledon hufanyika nchi gani?.
.
.
.
.
.
.
Dondosha comment yako hapo chini, majibu utapata kwenye #5SELEKT kila siku Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 11:00 jioni EATV.
#QUIZ #DONDOO #EastAfricaTV #HainaKuchoka