'CCM hawapaswi kujibu kwa kupotosha, lenye mvutano mkubwa ni lile sisi tulisema kwa mujibu wa CAG jumla ya trilioni 1.5 hatujui ziko wapi'. - Ado Shaibu #EABreakfast
Really great opportunity to work with schools and for schools to learn from employers; as always great ideas to work on in the New Year #EAbreakfast #PooleHigh #BCP0 -19
Nipo tayari kupokea matokeo ya kushindwa kama itatokea hivyo katika jimbo la Ukonga -Asiah Msangi (CHADEMA) #EABreakFast .
EastAfricaRadio Habari za hapo studio, binafsi kwa upande wangu yatakuza uchumi, Viwanda , Kilimo kwanza, Nishati ndo muhimu kabisa #EABreakfast
Listening to EastAfricaRadio #EABreakfast #williamcharlesamani knows hes stuff about private sector/Sekta isiyo rasmi, kudos...BiasharaWorks Kuza One Vijana Ujasiriamali
#EABreakfast
''Sheria imeeleza mtu anapokaidi amri ya Askari inabidi askari atumie nguvu ya kadri lakini hiyo nguvu ya kadri haijafafanuliwa iwe ya kiasi gani au ya ukubwa fulani'' - Idara ya upelelezi.
#EastAfricaRadio
Ahsante kwa Ufafanuzi huu
EastAfricaRadio Wa iringa tz #EABreakfast Atwambie siri ya mafanikio ya mko wake katika utendaji
EastAfricaRadio Wa Gomsi 88.1 kiukweri kwasisi wakazi wa Gongolamboto Ulongoni b tungetamani kuona mbunge wetu akiwasilisha kero hizi balabala mbovu inayo unganisha pande hizo 2 pamoja na daraja lilisombwa na mvua za masika ya mwaka Jana hivyo tunakero Mwita waitara Paul Makonda #EABreakfast
EastAfricaRadio Chama Cha Mapinduzi RECUR Je, chama chake kina mpango gani na maisha ya watanzania ukiacha kujiimarisha watawale milele wanavyodai
#EABreakfast
EastAfricaRadio RECUR Je, CCM ina mpango gani na kumalizia kuwanunua wabunge wa upinzani kabla ya 2020?
#EABreakfast
Delighted to have hosted this month's CEC EA meeting here Poole High School Fantastic group of individuals committed to supporting BPC schools in delivering outstanding #CEIAG with their wealth of knowledge & experience in the world of work
#informingtheirfutures #opportunities
Ni kwanini Ado Shaibu anaamini taarifa iliyotolewa na CCM kupitia RECUR ina walakini...? #EABreakfast by Fredy Sengula University of dar es salaam nawapata vyema. twitter.com/earadiofm/stat…
EastAfricaRadio Wa Gomsi dar 88.1 Habari za studio nipo kujua Mengi hasa juu ya mwenendo wa upatikanaji wa vitambulisho vya taifa kutoka NIDA Tanzania je nilini itakua wa Tanzania wote tumesha pata na ili kufanikisha usajili wa line Kwa vidole mh dkt Hassan Abbasi anasemaje #EABreakfast
EastAfricaRadio Nipo safarini kwenda mjini Iringa 90.9 ndio Mimi nilikua nandoto nilipo kuwa mtoto yakua mwalimu nikiwa mkubwa na ndoto Yangu hio haija timia kwasababu zilizo inje ya uwezo wangu tuko pamoja #Mackrinertz #charleswilliam2 #Dj45king #Eabreakfast